SIGARA, “Jasusi anayetabasamu”

Rated 4.00 out of 5 based on 1 customer rating
(1 customer review)

TZs 19,999

+ Free Shipping

Takribani watu milioni 8 hufariki kila mwaka kwa sababu ya uvutaji sigara. Utakuwa mmojawapo au?

Category:

Uvutaji wa sigara huanza kama starehe nyingine. Changamoto inakuja pale uteja wake unapokuchukua. Kupitia kitabu hiki utajifunza kwanini ni ngumu kuacha sigara, madhara yake, na njia gani unaweza kutumia kuukwepa uteja  huu ungali bado mdogo.

 

Kuhusu:

Mwandishi: Dr. Ansbert Mutashobya

Mhariri: LEO Kidijitali

Mchapishaji: Abite Medical and Health Services

1 review for SIGARA, “Jasusi anayetabasamu”

  1. Rated 4 out of 5

    Ansbert Mutashobya

    Nchini Tanzania, watu 3 kati ya 10 wanavuta sigara. Pia 7 kati ya 10 wanavuta wanatamani kuacha Lakini wanashindwa.
    Wewe uko kundi gani?
    Basi tuseme nawewe unatamani kuanza kuvuta, Lakini Unajua gharama ya kuvuta sigara kiafya na kiuchumi?
    Nimeandika Kitabu hiki kwa ajili yako wewe ambaye uko najiapanda.
    Nakushauri kisome Kwanza kabla hujafanya maamuzi, utanishukuru Baadaye.
    Pata nakala yako sasa.

Add a review

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Shopping Cart